JWTZ itoe tamko juu ya Diamond na Ney wa Mitego Kuvaa Sare za jeshi
huyu kijana akiwa na ufahamu kuwa television ya taifa inaonyesha hili tamasha lao kavaa SARE ZA JESHI tena full kuanzia viatu mpaka kofia.
Wamshughurike bila kujali urafiki wake na Kikwete.
Wasanii ni Mfano wa Kuiga, Sasa hawa wanafundisha nini watu wengine?
hii ni dharau

; Today at 11:01.
No comments:
Post a Comment