Thursday, January 2, 2014


Hakuna Afrika nzima; Basi jipya la wachezaji wa klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam, lililowasili nchini juzi likiwa tayari kusafirishwa visiwani Zanzibar ambako timu hiyo imekwenda kushiriki Kombe la Mapinduzi.

 Hili ni aina ya mabasi ambayo yanatumiwa na klabu za Ulaya kama Manchester United, Bayen Munich na Barcelona ambalo kwa Afrika Azam inaweza kuwa klabu ya kwanza kulimiliki.

STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ‘amemshika uchawi’ msanii mwenzake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kufuatia madai kuwa, kuna msanii maarufu Bongo alikwenda kwa mganga wa kienyeji Tanga akitaka kumfanyizia ‘madongoloji’ mrembo huyo ili mambo yake yaende ndivyo sivyo. 
ILIKUWAJE KWANI?

Desemba 22, mwaka jana, mtu mmoja aliyedai ni sangoma aishiye Tanga mjini alituma ujumbe mfupi wa maneno (SMS) kupitia simu ya chumba…
Mtu huyo alisema anaomba namba hiyo kwa sababu kuna mtu alikwenda kwake (Tanga) akitaka amfanyizie Baby Madaha mambo yaende kombo.
mgimwa 1Taarifa zilizoifikia ALPHA MSIGWA.COM ni kwamba Waziri wa fedha wa Tanzania William Mgimwa amefariki dunia leo hospitali ya Milpark nchini Afrika Kusini alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa.
Taarifa ambazo HAZIJATHIBITISHWA zinasema waziri huyu alianza kuumwa akiwa kwenye ndege akitokea Marekani ambapo kwenye ndege hiyo inadaiwa alikula kitu ambacho  hatakiwi kula kwa sababu kina mdhuru.

Breaking: Kuhusu bomu lililoonekana Dar es salaamhttp://millardayo.com/wp-content/uploads/2014/01/breaking.jpg


Ni taarifa ambazo zimeifikia ALPHA MSIGWA.COM saa saba kasoro mchana wa January 2, 2014 kutoka Shekilango Ubungo Dar es salaam.


Hivi ndivyo Madee alivyomzawadia gari meneja wake.


Meneja kutoka Kundi la TipTop Conection lenye maskani yake pale Manzese Tip Top Babu Tale usiku wa kuamkia tarehe 1 2014 alikua akiadhimisha siku yake ya kuzaliwa ambapo katika vitu ambavyo waliohudhuria hawakuvitarajia ni aina ya zawadi iliyotolewa na msanii wa siku nyingi ambae amekua chini ya Bab Tale, Madee.
IMG-20140102-WA0005Star wa huyu wa single mpya ya ‘tema mate tumchape’  aliamua kumzawadia gari aina ya  BB NEW MODEL lililoagizwa Japan na kumkabidhi mbele ya waliohudhuria akiwemo mwimbaji Amini, Ditto, Keisha, meneja wa kundi la Tmk Wanaume Family Said Fela na watu wengine wengi.IMG-20140102-WA0017IMG-20140102-WA0016IMG-20140102-WA0013Keisha akilishwa keki na Bab Tale.IMG-20140102-WA0003
Ditto akichukua kipisi chake.
IMG-20140102-WA0008