
Hakuna
Afrika nzima; Basi jipya la wachezaji wa klabu ya Azam FC ya Dar es
Salaam, lililowasili nchini juzi likiwa tayari kusafirishwa visiwani
Zanzibar ambako timu hiyo imekwenda kushiriki Kombe la Mapinduzi.



Taarifa zilizoifikia ALPHA MSIGWA.COM ni kwamba Waziri wa fedha wa Tanzania William Mgimwa amefariki
dunia leo hospitali ya Milpark nchini Afrika Kusini alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa.
Star wa huyu wa single mpya ya ‘tema mate tumchape’ aliamua
kumzawadia gari aina ya BB NEW MODEL lililoagizwa Japan na kumkabidhi
mbele ya waliohudhuria akiwemo mwimbaji Amini, Ditto, Keisha, meneja wa
kundi la Tmk Wanaume Family Said Fela na watu wengine wengi.

Keisha akilishwa keki na Bab Tale.