
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ‘amemshika uchawi’ msanii mwenzake, Nasibu
Abdul ‘Diamond’ kufuatia madai kuwa, kuna msanii maarufu Bongo
alikwenda kwa mganga wa kienyeji Tanga akitaka kumfanyizia ‘madongoloji’
mrembo huyo ili mambo yake yaende ndivyo sivyo.
ILIKUWAJE KWANI?
Desemba
22, mwaka jana, mtu mmoja aliyedai ni sangoma aishiye Tanga mjini
alituma ujumbe mfupi wa maneno (SMS) kupitia simu ya chumba…
Mtu
huyo alisema anaomba namba hiyo kwa sababu kuna mtu alikwenda kwake
(Tanga) akitaka amfanyizie Baby Madaha mambo yaende kombo.

No comments:
Post a Comment