Monday, March 17, 2014

Baada ya Wema kudaiwa kumfanyia Diamond fujo studio, leo kaweka hii picha.Screen Shot 2014-03-15 at 11.55.14 AM            Kupitia Kipindi cha  HOT SHOW HIGHLANDS FM [92.7]March 14 2014 zilitoka stori kwamba Wema Sepetu amekwenda na kumfanyia fujo Diamond Platnumz studio.

Hiyo ilitokana na kuona video ya Diamond akiwa na Victoria Kimani studio, msichana ambae amewahi kutajwa kuwa mapenzini nae. STORY BY PRINCE ALPHA.


No comments:

Post a Comment