Stori kuhusu helikopta ya Dr. Slaa na Mnyika kutaka kulipuliwa Shinyanga.

Magazeti ya Tanzania August 9 2014 kama Tanzania Daima na Nipashe yameripoti kwamba Naibu Waziri huyo anadaiwa kupanga njama za kuilipua Helikopta ya Dr. Slaa na Mnyika wakiwa ziarani mkoani Shinyanga kukusanya maoni ya Wananchi juu ya muundo wa serikali mkoani Shinyanga.

Kupata kila stori inayonifikia mtu wangu niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza >>> twitter Insta FB
No comments:
Post a Comment