Friday, November 29, 2013

Juzi na jana kulikuwa na habari katika gazeti na mitandao mingi kuwa Wastara na Bond Bin Suleiman ni wapenzi na wamekuwa wakifanya siri sana huo uhusiano wao. Habari ambazo zilinukuu chanzo kimoja zilieanda mbali zaidi zikisema huenda Bond ana tabia ya kufanya mapenzi na mwanamke kotekote kwani aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Lulu Semagongo(Anti Lulu) alidaiwa kuwahi kukaririwa akisema kuwa anapenda sana kufanya mapenzi kinyume na maumbile na hawezi kuacha tabia hiyo. 
Baada ya habari hizo kusambaa ilibidi blog yetu  kuwatafuta mastaa hao wawili na wa kwanza kupatikana alikuwa ni Wastara na alikana kuwa katika penzi na Bond ila alisema wanafanya kazi pamoja kwani kwasasa wanashuti filamu mpya ya Bond inaitwa Uaminifu Dhaifu. Aliongeza kwa kusema kuwa Bond ni kama kaka yake. "sina mahusiano na Bond zaidi ya kikazi tu na zile picha zote ambazo unaziona ni wakati tupo location tukiandaa filamu yake inaitwa Uaminifu Dhaifu, huo ndiyo ukweli, bora mume wangu angekuwepo haya yote yasingetokeaBaada ya hapo ilibidi kumgeukia Bond ambaye yupo location wakimalizia filamu hiyo na alipoelezewa hayo alisema hana uhusiano wa kimapenzi na Wastara na picha zinazodaiwa kuwa ni wapenzi ni za filamu mpya ambayo tuliweka hata hapa katika blog yetu, alisema kuwa huyo Anti Lulu anatafuta kuandikwa tu kwenye magazeti ndiyo maana anatoa habari hizo zisizo za kweli ili kujipatia umaarufu "Sio kweli ni picha za kazi tu ambazo hata wewe nilikutumia magazeti yanazigeuza, Lulu achana nae anatafuta kuandikwa, tulishachana kitambo wala hatuna mawasiliano. STORY BY PRINCE ALPHA 
Peter MsigwaPeter Msigwa ni mbunge wa Iringa mjini kwa ticket ya Chadema ambapo kwa siku kadhaa amekua akiandika na kumkosoa Mbunge wa Kigoma Kaskazini kupitia Chadema (Zitto Kabwe) baada ya hii ishu ya Zitto kuvuliwa vyeo vyake Chadema.

1. ‘Kimsingi nimeonyesha msimamo kwamba nampinga kwa sababu hatendei haki chama na ndio msimamo wa kamati kuu, tunachoamini ni kwamba tunatakiwa kupigana wote… kwenye matukio yote muhimu yenye maana ambayo ni ya kukijenga chama hatujashirikiana nae, hatujalia pamoja hatujafurahi pamoja, wenzake tulifurahi pamoja Tarime hakuwepo, tumelia pamoja Arusha wenzake wote mara mbili, Iringa, Morogoro hajakuwepo’
2. ‘Bungeni tumedharauliwa tumetukanwa kwenye matukio yote haya ya msingi hajakuwepo lakini kibaya zaidi amekuja na Waraka huu ambao amefanya na mwenzake Kitila, Waraka wa kukigawa chama kwa hiyo mambo kama haya ndio nimeamua kuonyesha msimamo wangu hadharani na naamini Wabunge wengine ambao tuko nao wataendelea kujitokeza siku zinazokuja kwamba hatuko nae kwenye swala hili hata yeye mwenyewe nimeshaongea nae uso kwa uso, sijali nani ni nani… i don’t care’
3. ‘Mimi ni bora nichukiwe katika uhalisia, sitaki kupendwa kinafiki kama mtu ananichukia ni sawa lakini msimamo wangu ndio huo na kwamba Zitto Kabwe hastahili kuwa Naibu Katibu mkuu wa chama chetu’Zitto Kabwe 1STORY BY PRINCE ALPHA

Tuesday, November 26, 2013

WIMBO WA MAOMBOLEZO YA STIVIN KUNUMBA R I P BRO ITS LONG TIME BUT I REMEMBAR U SO MUCH BY PRINCE ALPHA.

WANAIGERIA WAMWEKA KITI MOTO DIAMOND KWA KUVAA VIBAYA KWENYE ARUSI YA PETER WA P-SQUARE MA2KIO NA PRINCE ALPHA.So Diamond Platnumz jana alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa waliohudhuria harusi ya kimila ya Peter Okoye wa kundi la P-Square na mchumba wake, Lola Omotayo iliyofanyika jijini Lagos, Nigeria.

Kwenye harusi hiyo, Diamond alipata nafasi ya si tu kushuhudia Peter na Lola wakisema ‘Yes I do’ bali pia aliweza kuchill na cream ya mastaa wa Afrika wakiwemo Iyanya na mchezaji wa timu ya Tottenham Hotspur na timu ya taifa ya Togo, Emmanuel Adebayor.

Alipata pia fursa ya kuwaonesha Adebayor na Iyanya style yake ya kucheza ya Ngololo

Hata hivyo, kitu kimoja hakikwenda sawa. Ni nguo aliyokuwa ameivaa, ambayo iligeuka gumzo kwa mashabiki wengi wa muziki nchini Nigeria waliosema kachemka. BY ALPHA MSIGWA 0764849514


PICHA ZA P-SQUARE WALIVYO TUA DAR KWA AJILI YA SHOW YA KESHO Wanamuziki wa kundi la P-Square Peter na Paul baada ya kutua jijini Dar usiku wa kuamkia leo. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkrulu ambao ndio wadhamini wakuu wa onesho lao ambalo limeratibiwa na East Africa Radio na EATV. Hapa wakifanya mahojiano na kituo cha East Africa TV ambao ndio wenyeji wao.Vijana wakielekea kupumzika tayari kwa kazi ya kesho. MA2KIO YOTE NA PRINCE ALPHA.

Je unaishi Dar-es-Salaam..? Unakipaji, Uwezo na Elimu ya kupiga picha, kushoot Video na kuedit...?
NOTE:-
1)Uwe na Uwezo wa kutumia Camera zote Old na za kisasa....
2)Uwe na sample za kazi kadhaa ulizowai fanya... (kushoot na 
Kuedit)
3)Quality ni kuanzia 1080 na kuendelea...
4)Age, kuanzia Miaka 20 hadi 35..
5)M'bunifu, Smart na uwe tayari kusafiri popote saa yoyote...

Kama unaamini unasifa hizo wasiliana nasi sasa kwa email hii diamondplatnumz@gmail.com ama kwa namba ya simu +255755700400

Hichi ndicho alichomfaya Gnako Joh Makini baada ya kutaka kujua nani Raia wanamkubali zaidi.


JOH MAKINI
  69 (81%)
 
GNAKO
  16 (18%)
 
DAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!! HUYU JAMAA NI NOMA KWELIIIIIIIIII

Monday, November 25, 2013

LULU NDANI YA MKASI YA SALAMA
MKISI YA SALAMA NDANI YA NYUMBA LULU
MTIKISIKO 2013 MAKAMBAKO
DAAAAAAAAAAAAAAAA HAWA JAMAA NI NOMAAAA WATIKISA DA KAMA MAMBELEEEEEEEEEEEE
NGOMA YA NEY MZIKI GANI FT DIAMOND

Sunday, November 24, 2013

DAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!! HUYU JAMAA JINA KAPUNI AFIKISHWA LUMANDE AKIWA UCHI WA MNYAMA HABARI NA ALPHA MSIGWA.
Baada ya mahusiano yao kuongelewa sana Kwenye
Mitandao hatimaye Peter Okoye wa P-Square Amefunga ndoa na mchumba wake wa muda Mrefu anayejulikana  kwa jina la Lola....Congrats Bro.....
TOA MAONI YAKO HAPA CHINI KUPITIA alpha msigwa@gmail.com
Msanii wa muziki wa kizazi kipya  na mwenye tuzo kibao za kimataifa Ambwene Yesaya AY.
Wajumbe wapya wa Bodi ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), wametaka kupewa miezi sita, wasanii waanze kufaidi matunda yao.
Akizungumza kwa niaba ya wajumbe wenzake wa  bodi hiyo iliyozinduliwa juzi, Alex Msama alisema Basata kuna changamoto nyingi ikiwemo kukosa vyanzo vya kutosha vya mapato hivyo changamoto kubwa iliyopo mbele yao ni kuhakikisha Basata inajiendesha yenyewe.
“Tutaboresha kazi za wasanii kwa kuziinua na kuzilinda kwa nguvu zote, tutasimamia studio zitoe kazi bora za wasanii sio bora kazi, tunataka ifike mwisho wasanii kwenda kurekodi Afrika Kusini, China na kwingineko na kazi zetu zivuke mipaka.
“Ndani ya miezi sita, matunda yetu yataanza kuonekana, kikubwa tunaomba ushirikiano kwa wasanii na wadau wote wa Sanaa.”alisema Msama.
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Basata, Profesa Penina Mlama alisema anasikitishwa na vitendo vya mmomonyoko wa maadili unaofanywa na wasanii ambao ni kioo cha jamii nMsanii wa muziki wa kizazi kipya  na mwenye tuzo kibao za kimataifa Ambwene Yesaya AY.
Wajumbe wapya wa Bodi ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), wametaka kupewa miezi sita, wasanii waanze kufaidi matunda yao.
Akizungumza kwa niaba ya wajumbe wenzake wa  bodi hiyo iliyozinduliwa juzi, Alex Msama alisema Basata kuna changamoto nyingi ikiwemo kukosa vyanzo vya kutosha vya mapato hivyo changamoto kubwa iliyopo mbele yao ni kuhakikisha Basata inajiendesha yenyewe.
“Tutaboresha kazi za wasanii kwa kuziinua na kuzilinda kwa nguvu zote, tutasimamia studio zitoe kazi bora za wasanii sio bora kazi, tunataka ifike mwisho wasanii kwenda kurekodi Afrika Kusini, China na kwingineko na kazi zetu zivuke mipaka.
“Ndani ya miezi sita, matunda yetu yataanza kuonekana, kikubwa tunaomba ushirikiano kwa wasanii na wadau wote wa Sanaa.”alisema Msama.
Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Basata, Profesa Penina Mlama alisema anasikitishwa na vitendo vya mmomonyoko wa maadili unaofanywa na wasanii ambao ni kioo cha jamii Habari na PRINCE ALPHA.
Mr. Blue anatafutwa na polisi wa Kenya kwa utapeliHitmaker wa ‘Mapozi’ Mr. Blue aka Kabayser anatafutwa na polisi wa Kenya kwa Utapeli.
Mratibu wa show hiyo, Sammy Ondwar Onyango, aliamua kwenda kushtaki polisi sababu anadai alikuwa ameshamlipa msanii huyo sehemu ya malipo waliyokuwa wamekubaliana.
“Mr Blue si mtu mwaminifu kabisa. Aliwahi kuniangusha pia mwaka 2012 kwenye show ya Jet Bar, Likoni, baada ya kudai kuwa alikosa basi ya kwenda Mombasa na nililazimika kuingia zaidi mfukoni kumlipia basi jingine,” Onyango aliliambia gazeti la The Star.
Promota huyo amesema kwenye tukio la sasa, walikubaliana kumlipa shilingi 100,000 (za Kenya) ambazo ni sawa na shilingi milioni 1.8  na tayari alikuwa ameshamlipa shilingi 40,000 kupitia M-Pesa.
Kesi hiyo imeripotiwa kwenye kituo cha polisi cha Likoni.
Gazeti hilo limesema baada ya kuwasiliana na Mr Blue kwa simu, aliweza kujibu kwa ujumbe mfupi wa simu kwamba alikuwa akiendesha gari na simu haikupatikana tena Matukio yote yakiratibiwa na ALPHA MSIGWA aka IGP SAID PLAY BOY MWEMA.
Msanii wa filamu bongo,na mwenye jina kubwa kuliko umri wake,Elizabeth Michael aka LULU,
ameonesha msimamo mkali baada ya msanii wa bongo fleva mwenye jina la madini expensive Naseeb Mohamed au DIAMOND kufanya kila aina ya mbinu ikiwemo ile ya kutaka kumuagizia msanii huyo gari expensive aina ya nissan murrano yenye thamani ya shiling million zaidi ya 60,ambapo hata hivyo mbinu yake iyo imeonekana kugonga mwamba baaada ya Lulu kukataa kata kata kutoka na staa huyo anayetamba na ngoma ya my number one.

Kwa kumaanisha kuwa hataki kutoka na staa huyo, Lulu alilazimika kubadilisha namba ya simu yake ya mkononi ili kuepuka usumbufu kutoka kwa bwana mdogo huyo ambaye kila kukicha amekuwa akiwindwa na wasichana warembo ili tu waonje sukari yake. 

Pia inasemekana lengo la diamond kutaka kutoka na Lulu ni kutaka kukuza jina lake(kiki) kwa kuwa anaamini staa huyo ana jina kubwa na lenye mvuto hivyo kumfanya na yeye aogelee kwenye dimbwi la umaarufu na kuongelewa zaidi na watu,na kuwa ishu iyo ndo itakuwa habari ya mujini yaan yeye kutoka na
Baadhi ya watu wameonyesha kushangzwa sana na msimamo mkali wa binti huyo,kwa kuwa waliamini hakuna staa yeyote bongo mwenye ubavu wa kupindua kwa diamond,kama ilivyokuwa kwa Wema,Jokate,Aunt,Wolper na baadhi ya mastaa ambao dogo huyo aliwamega kiulaini. 

Watu wanahaha kumjua mwanaume anayempa jeuri Lulu hadi kufikia hatua ya kuchomoa kwa diamond.. HABARI NA ALPHA.

Thursday, November 21, 2013

MAHAKAMA YA RUFAA YATUPILIA MBALI RUFAA YA BABU SEYA NA PAPII KOCHA


Mahakama ya Rufaa imetupilia mbali rufaa ya mwanamuziki wa dansi Nguza Vicking ‘Babu Seya’ na mwanae Papii Kocha ya kutaka adhabu ya kifungo cha maisha iliyotolewa na mahakama hiyo February 2010 ipitiwe upya.

Kwa mujibu wa ripoti kutoka mahakamani hapo, mahakama imesema kuwa hakukua na sababu za msingi ambazo zingepelekea mahakama hiyo kupitia upya hukumu hiyo kwa kuwa utetezi walioutoa Nguza na mwanae unafanana na utetezi wa awali waliotoa kwenye shauri hilo.


Hii inamaanisha kuwa Mwanamuziki huyo mkongwe na mwanae wataendelea na adhabu ya kifungo cha maisha jela.


Nguza Vicking na mwanae walihukumiwa kifungo cha maisha jela February 2010 baada ya kukutwa na hatia ya ubakaji na ulawiti.

Wednesday, November 20, 2013

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash3/c10.10.160.160/544651_528823143835087_529822667_a.jpg
DIONISI MGAYA   PA1 SANA KAKA KWA KUISAPOT BLOG YANGU NA KUZITAMBUA KAZI ZOTE ZINAZO FANYWA CHINI YA MKURUGENZI ALPHA MSIGWA WA  KAMPUNI YA PRINCE ALPHA alphamsigwa.blogspot.com     DIONISI MGAYA NI MFANYABIASHARA MKUBWA JIJI MBEYA PANDE ZA MWANJELWA ANAUZA ULEMBO ONE LOVE BRO CALL ME ALPA MSIGWA aka THE PRINCE aka IGP SAID PLAY BOY MWEMA.

Monday, November 18, 2013

Nipeni dili masela.... Nikamate mahela!!..
Photo: BREAKING NEWS: Rankim Ramadhan Nyamkah maarufu kama DJ Rankim amefariki dunia jioni hii katika Hospitali ya Mwananyamala Jijini DSM.Enzi za uhai wake alijipatia umaarufu mkubwa nchini kutokana na umahiri wa kazi yake ya U-DjBREAKING NEWS: Rankim Ramadhan Nyamkah maarufu kama DJ Rankim amefariki dunia jioni hii katika Hospitali ya Mwananyamala Jijini DSM.Enzi za uhai wake alijipatia umaarufu mkubwa nchini kutokana na umahiri wa kazi yake ya U-Dj MATUKIO YOTE YAKIRATIBIWA NA PRINCE ALPHA  R I P DJ RANKIM.
Photo: Man U 1 - 0 Asernal
DAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!! POLENI SANA MASHABIKI WA ARSENAL KWA KUPIGWA KI 1 2 NA MAN UTD BAO LIKIPACHIKWA NA VAN PERSIE BY ALPHA MSIGWA AKA IGP SAID PLAY BOY MWEMA

Sunday, November 17, 2013

ANNA ALPHA NAY & NAS
My dear fans, I will meet so many obstacles that will try to bring me down, but I am thankful for your support that always keeps me strong and moving forward! All I want to do is inspire and to show the world that nothing is impossible, in that case I bury myself in hard work, in the music, the cafe, the innovations, and this does affect many things that i do outside of the mentioned, but I appreciate that you are always here for me no matter what obstacle comes my way, you guys are my family of thousands, and thank you for always being by my side! Twaake!

Friday, November 15, 2013

''STORY ZA VISA VYA MAPENZI'' Mme amchoma kisu mkewe kisa kamfumania akiliwa uloda na rafki yake,,, sema chochote mtazamaji DAAAAAAAAA?????????? NI NOMA KWELI MAPENZI DUUUUUU??????? DEMU KACHEZEA KISU CHA JICHO KISA MAPENZI MA2KIO ZAIDI NA THE PRINCE SHOW IN TOWN ALPHA MSIGWA.
Habari, maelezo ya picha nilizozitoa kwenye album inayoitwa Jamii hapa Facebook yanapatikana www.ladyjaydee.blogspot.com.
Poleni kwa ambao mliangalia picha tu ila hamkuelewa ni za nini na lini. Nawatakia siku njema pia HAYO NI MANENO YALIYO ONGELEWA NA MWANADADA LADY JAYDEE BAADA YA KUPOST PICHA FB BY ALPHA MSIGWA AKA THE PRINCE AKA IGP SAID PLAY BOY MWEMA.alphamsigwa.blogspot.com


Wednesday, November 13, 2013

Jamaa aliharibikiwa na gari wakati yupo safarini, akapewa hifadhi, baada ya kuoga na kula. MZEE: Sasa mama watoto huyu mgeni alale wapi? MKE: Saa hizi ni usiku akalale na baby tu! Mgen kusikia hivyo kakwepa kwenda kulala na baby akiofia kukojolewa kitandani na baby kulialia usiku. Mgeni: Msipate tabu mi ntalala hapa sebulen kwenye kochi. Kesho yake asubuhi akaibuka bint kanga 1 toka chumbani alikokataa kulala akaja kumsalimia mgen sebulen. BINTI: Sorry naitwa BABY, cjui mwenzangu unaitwa nani? JAMAA: Naitwa BONGE la fala UZUZU WA HUYU JAMAA NAUFANANISHA NA WA AFANDE SELE KUVUA NGUO LIKE THAT JE?????????? MWANAE TUNDA ATAJISIKIAJE KUMWANA BABA YAKE AKIWA UCHI AU NDO KIDIGITAL ZAIDI?????????? Story by mwanahalakati ALPHA MSIGWA aka THE PRINCE aka AGP SAID PLAY BOY MWEMA.
AFANDE SELE
UKITAKA KUJUA KUA MTOTO ANAPO ZALIWA TU ANAKUA NA TABIA ZA MAZINGIRA YA WAZAZA WAKE KAMA HUAMINI SAMA HAPA ''Kinamama wa3 (MCHAGA, MGOGO,Na MHAYA) Walijifungua Watoto kwa Bahati mbaya Docta akawachanganya, kuwatambua Ikawa VIGUMU, ikabidi watafute MBINU ya kuwatambua kwa nature zao, Doctor akarusha COIN ya sh 20/= ilipodondoka sakafuni, Mtoto mmoja alishtuka Na kupepesa MACHO, wakajua haka KACHAGA katoto kengine Kaliposikia ule mlio wa COIN, kakapanua MIGUU, wakajua haka KAHAYA, kanawaza ngono tu, Katoto Kengine kalinyoosha MKONO Wakajua haka KAGOGO OMBAOMBA'' SWALA JE KATOTO KA KIKINGA WANGEFANYAJE KUKAJUA???????? STORY BY ALPHA MSIGWA AKA THE PRINCE AKA AGP SAID PLAY BOY MWEMA.0764849514
STORY BY @alphamsigwa.blogspot.com 0764849514  'Wadada tupunguze kuigiza Maisha Jamani' . Me Napenda kujiita mtoto wa Mbwa sasa leo katika kusagura mitumba kwenye moja ya soko la mitumba nikijitafutia Maukali pembeni yangu kulikuwa na dada mmoja naye anasaula kutupa jicho vzr ni humu mjengoni Amepigwa na vumbi mpaka kope zimekuwa nyeupe =)) =)). Wakati siku zote najua yeye kwao mambo safi Bikini anafata china=)) =)) hajawahi tembea na miguu :> Sasa leo kwenye Sagura umepauka kama umetoka kuvuna Vitunguu ulikuwa unachagua nguo za dada wa Kazi ama=)) ukiona pic zake hakuna ya shida zoe starehe utazani kazaliwa mambele Skia acheni umbulula kama Msaga Dengu kwa Wahindi kama mm Jikubali pumbavuu #team Ngariba wa tabia#
MRS SAY NEVA NO!!!!!!!!!!!!!!   IM SO SORRY 4 THAT PHOT JUST MTAZAMO 2 ME ALPHA MSIGWA AKA AGP SAID PLAY BOY MWEMA. @alphamsigwa.blogspot.com 0764849514

Tuesday, November 12, 2013

Dk. Sengondo Mvungi amefariki dunia katika Hospitali ya Milpark Afrika Kusini alikokuwa akitibiwa. Dk. Mvungi alipelekwa wiki iliyopita Nov. 7 kwa ajili ya kupewa matibabu zaidi akitokea Hospitali ya Muhimbili kitengo cha Moi ambako muda wote alikuwa hajitambui baada ya kushambuliwa na majambazi na kuumizwa vibaya sehemu ya kichwani akiwa nyumbani kwake Kibamba.

Wakati Dk. Mvungi anafariki, jana Jeshi la Polisi, kupitia Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi, lilitangaza kuwakamata watuhumiwa 9 wakiwa na mapanga yaliyotumika katika uvamizi huo.


MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI - AMEEN!. MATUKIO YOTE YAKIRATIBIWA NA ALPHA MSIGWA THE PRINCE 
  R . I. P
Hebu wazia; wewe ni mpiga picha umebahatika kuokota milioni 200 baada ya majambaz kukimbizwa na polisi na kuzidondosha. Ukakimbilia kijijini kwenu na kuwapa wazazi wako mil 5 tu, zingine ukatafuta sehem ili uzifiche. Kwa bahat ukaona mti mkubwa na kuzifukia chin, ili usisahau ukaamua kupiga picha mti, ukaenda mjini kusafisha picha, ulipo isafisha ile picha unaona juu ya mti kuna mtu anatabasamu...
UNGEFANYAJE USICHEKE NIPE JIBU!
HUYU NDO MPIGA PICHA  DAAAA????????? JAMAA KACHANGANYIKIWA KAWA CHIZI PALEPALE STORY BY ALPHA MSIGWA AKA THE PRINCE AKA AGP SAID PLAY BOY MWEMA.

Monday, November 11, 2013

LOVE STORY FROM 2 ALPHA Jamaa kakosea baada ya kutuma sms kwa hawara akatuma kwa mama mkwe ilikuwa inasema
MIMI NAKUPENDA NIMEVUMILIA NIMESHNDWA NIMEONA NIKWAMBIE YA MOYONI NAOMBA TUWE WAPENZI MKE WANGU HAWEZI KUJUA
wakati anatafakari atafanyaje likaja jibu kutoka kwa mama mkwe
NAMI NAKUPENDA UNGECHELEWA NINGE KWAMBIA MIMI MAANA HUWA UKIWA NA MWANANGU MI NDIO NADATA!
MPENZI LEO USIKU UJE.
Je Ungekuwa wewe Ungefanyaje?
UNANITEGA?????????????????? BY ALPHA MSIGWA AKA THE PRINCE AKA AGP SAID PLAY BOY MWEMA.
MKUTANO WA MAPATO NA MATUMIZI. UNAFANYIKA ALAHAMISI TAR 14.11.2013 KAMA MZALIWA WA KIJIJI CHA UHEKULE.MICHANGO MLIYO CHANGA KWENYE UJENZI WA NYUMBA YA NEC KWA PAMOJA TUNAWEZA KUZUIA UCHAKACHUAJI WA MICHANGO YETU BY MWANAHARAKATI ALPHA MSIGWA.
Kwa wanafamilia wa uwemba sec na watanzania kwa ujumla tumepata habari co nzur sana kuwa kuna mwanafunzi wa kidato cha nne(anaendelea na mtihan au amemaliza )wa kiume ametumbukia ktk bwama la kuzalisha umeme uwemba na hadi giza linaingia alikua hajaonekana,tumwombe Mungu amwepushe na lolote baya by ALPHA MSIGWA.
C   BROUNY
BIASHARA C UCHAWI BALI NI MATANGAZO SO TANGAZA BIASHARA YAKO NA ROCK FM 96.9 MBEYA KWA MAWASILIANO ZAIDI 0764849514 By MARKETING  MANEGAR ALPHA MSIGWA.
TEACHER ADAM & KASTO MGUMU
KASTO MGUMU NDIYE ALIYE FANYA RIMIX YA NGOMA YA YOUNG KILLA ft STAMINA ALIYO IPA JINA IRINGA IRINGA INSHORT JAMAA KAFANYA POA XNA KAITENDEA HAKI NGOMA YA YOUNG KILLA.
CONDOM YA KIUME
DAAAAAAAAAAA????????? JAMAA KATISHA KINOMANOMA KANUNUA BANGO LA CONDOM EEEEEET NDO CONDOM DUUUUUUUUUU?????????? BY ALPHA MSIGWA AKA THE PRINCE AKA AGP SAID PLAY BOY MWEMA.
HURUMA & MY % ROSE

IKUPA & MY LOVE ROSE

IKUPA    LOVE     ROSE      HURUMA   HASNA   HUSNA  &  CATHE  .
MAMA NA WATOTO ENZI ZA HOSTER DA  MIC U ALL MY FRIENDS
WALIMU  WA CHUO CHA GREEN HILL WAKIWA NA WANAFUNZI WA HITIMU

WANAFUNZI WA CHUO CHA GREEN HILL MBEYA
DAAAAAAAAAA WAMETOKELEZEA MPANGO MZIMA NI KULA KEKI BY ALPHA MSIGWA

Saturday, November 9, 2013

ASKARI POLISI AVAMIWA NA MAJAMBAZI APIGWA HADI KIFO TANZANIA YETU IMETOKA WAPI??????????? IPO WAPI???????????????? & INAENDA WAPI???????????? MATUKIO YOTE YAKIRATIBIWA NA  I T V & ALPHA MSIGWA

Friday, November 8, 2013

ROMA AFANYA KUFULU AWAPAGAWISHA MASHABIKI WAKE MBAKA BASSSSSSSSSSSSSSS HAINAGA MAJOTO IBONY FM NDANI YA MTIKISIKO BY ALPHA MSIGWA AKA THE PRINCE AKA AGP SAID PLAY BOY MWEMA.
MY LOVE ROSE DICK
IM SO SORRY MY LOVE I STILY LOVE U 4LEV & 4GIVE ME 4 ALL THINGS.

Thursday, November 7, 2013

HIVI NDIVYO ILIVYO TOKEA KWENYE MSIBA WA BABA WEMA BAROZI ISAAC ' MSIBA WAHUZURIWA NA MASTAR KIDUCHU KISA NA MKASA PLAY MATUKIO YAKIRATIBIWA NA KAMPUNI YA alphamsigwa.blogspot.com
WEMA SEPETU AKIELEZEA MSIBA WA BABA YEKE  MATUKIO YOTE NA ALPHA MSIGWA AKA THE PRINCE AKA AGP SAID PLAY BOY MWEMA.
HUYU NDIYE MSANII WA BONGO MOVE WEMA SEPETU ALIYE SUSIWA MSIBA WA BABA YAKE NA MASTAR WENZAKE AKIWEMO REY & JOHARI BY ALPHA MSIGWA AKA AGP SAID PLAY BOY MWEMA
MKURUGENZI WA HII BLOG
SITAWEZA KAISAHAU SIKU HII AMBAYO NILIPOTEZA FAHAM KWAAJILI YA POMBE 29/09/2013 AM SO SORRY 4 THAT.
AFANDE SELE
WASANII WA KONGWE WA GAME LA BONGO WAKIWA HIVI JE?????????? ANDAGRAUND WAFANYE NINI????????? JE?????????? MTOTO WAKE TUNDA ATAJISIKIAJE KUMWONA BABA YAKE AKIWA VILEEEEEEEEEE?????????????? NI MTAZAMO 2222222 WA ALPHA MSIGWA AKA AGP SAID PLAY BOY MWEMA. KWA MAONI ZAIDI 0764849514
WEMA SEPETU
MSANII WA BONGO MOVE WEMA SEPETU ASUSIWA MSIBA WA BABA YAKE NA MASTAR WENZAKE KISA KIKUU NI YEYE KUTO HUZURIA MISIBA YA WENZAKE VIONGOZI WA MGOMO HUO NI CAMPUNI YA RJ CAMPAN VINSENT KIGOS NA BRANDINA CHENGURA MATUKIO YOTE YAKIRATIBIWA NA ALPHA MSIGWA.
PROGRAM YA WINDOWA XP
KAMPUNI YA HII PROGRAM YA AHIDI KAFANYA MAPINDUZI YA KITEKINOLOGIA KWA KUIONGEZEA UFANISI WA KAZI PROGRAM HIYO ILI KUENDANA NA MFUMO WA DIGITAL. BY ALPHA MSIGWA AKA AGP SAID PLAY BOY MWEMA.
ADAM MCHOMVU & DJ FETTY
ADAM & FETT WATANGAZA URAFIKI MPYA NDANI YA KAZI NA NJE YA KAZI
MABINTI WA KIBONGO NDIKO WANAKO ELEKEA

Wednesday, November 6, 2013

PATA HABARI ZOTE TOKA  I T V & ALPHA MSIGWA
ZAIDI YA NYUMBA 100 ZIMEZINGILWA NA MAJI JIJI DA KULINGANA NA MVUA KUBWA ZINAZO ENDELEA KUNYESHA JIJI HUMO MATUKIO YOTE NA ITV & ALPHA MSIGWA.
WAZIRI WA ELIMU ATOA TAMKO KUHUSU MATOKEO YA DARASA LA SABA NA MAENDELEO YA KIDATO CHA NNE WANAO ENDELEA KAFANYA MITIHANI HABARI ZOTE NA ALPHA MSIGWA.
DUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU
IVI JAKAYA MRISHO KIKWETE ANAJUA KUWA KUNA WATANZANIA WANAISHI KAMA MBUZI???????????? BY ALPHA MSIGWA AKA M2 WA WA2
ROSE
JUST SPECIAL 2 MY LOVE ROSE BY UR LOVE ALPHA.