Monday, November 11, 2013

Kwa wanafamilia wa uwemba sec na watanzania kwa ujumla tumepata habari co nzur sana kuwa kuna mwanafunzi wa kidato cha nne(anaendelea na mtihan au amemaliza )wa kiume ametumbukia ktk bwama la kuzalisha umeme uwemba na hadi giza linaingia alikua hajaonekana,tumwombe Mungu amwepushe na lolote baya by ALPHA MSIGWA.

No comments:

Post a Comment