STORY BY @alphamsigwa.blogspot.com 0764849514 'Wadada
tupunguze kuigiza Maisha Jamani' . Me Napenda kujiita mtoto wa Mbwa sasa
leo katika kusagura mitumba kwenye moja ya soko la mitumba
nikijitafutia Maukali pembeni yangu kulikuwa na dada mmoja naye anasaula
kutupa jicho vzr ni humu mjengoni Amepigwa na vumbi mpaka kope zimekuwa
nyeupe =)) =)). Wakati siku zote najua yeye kwao mambo safi Bikini
anafata china=)) =)) hajawahi tembea na miguu :> Sasa leo kwenye
Sagura umepauka kama umetoka kuvuna Vitunguu ulikuwa unachagua nguo za
dada wa Kazi ama=)) ukiona pic zake hakuna ya shida zoe starehe utazani
kazaliwa mambele Skia acheni umbulula kama Msaga Dengu kwa Wahindi kama
mm Jikubali pumbavuu #team Ngariba wa tabia#

MRS SAY NEVA NO!!!!!!!!!!!!!! IM SO SORRY 4 THAT PHOT JUST MTAZAMO 2 ME ALPHA MSIGWA AKA AGP SAID PLAY BOY MWEMA. @alphamsigwa.blogspot.com 0764849514

No comments:
Post a Comment