Wednesday, November 13, 2013

Jamaa aliharibikiwa na gari wakati yupo safarini, akapewa hifadhi, baada ya kuoga na kula. MZEE: Sasa mama watoto huyu mgeni alale wapi? MKE: Saa hizi ni usiku akalale na baby tu! Mgen kusikia hivyo kakwepa kwenda kulala na baby akiofia kukojolewa kitandani na baby kulialia usiku. Mgeni: Msipate tabu mi ntalala hapa sebulen kwenye kochi. Kesho yake asubuhi akaibuka bint kanga 1 toka chumbani alikokataa kulala akaja kumsalimia mgen sebulen. BINTI: Sorry naitwa BABY, cjui mwenzangu unaitwa nani? JAMAA: Naitwa BONGE la fala UZUZU WA HUYU JAMAA NAUFANANISHA NA WA AFANDE SELE KUVUA NGUO LIKE THAT JE?????????? MWANAE TUNDA ATAJISIKIAJE KUMWANA BABA YAKE AKIWA UCHI AU NDO KIDIGITAL ZAIDI?????????? Story by mwanahalakati ALPHA MSIGWA aka THE PRINCE aka AGP SAID PLAY BOY MWEMA.
AFANDE SELE

No comments:

Post a Comment