Saturday, July 12, 2014

TUKIO ZIMA KATIKA PICHA: HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA SAFARI YA MWISHO YA EMMANUEL MBUZA



Mwandishi wa habari na Mwenyekiti mstaafu wa Klabu ya Waandishi wa Habari Christopher Nyenyembe akitoa heshima mbele ya mwili wa Mbuza.



Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Sambwee Shitambala akimkabidhi rambirambi kaka wa marehemu Leonard Mbuza.


Mmoja wa wanafunzi wa shule ya Msingi Umoja akimkabidhi bahasha ya rambirambi mtoto wa marehemu Mbuza, Chriprin Mbuza



Umoja wa Vijana wa CCM wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Mbuza ambaye alikuwa ni Katibu Uenezi na Itikadi wa CCM Jiji la Mbeya


Kaka wa marehemu Emmanuel Mbuza, Oscar Mbuza akiongoza ndugu zake kuweka shada la maua katika kaburi la ndugu yake kwenye makaburi ya familia eneo la Kalobe Jijini Mbeya


Mke wa maarehemu Emmanuel Mbuza akiongozwa kuweka shada la maua katika kaburi la mumewe

EMMANUEL JOSEPH MBUZA. Mhitimu wa sangu High school(2007), aliewahi kua Mfanyakazi wa Mbeya FM na generation FM, LLB & MBA Tumain university, Kijana mjasiliamali na mpiganaji, Katibu mwenezi wa mbeya mjini, Mkurugenzi wa Sweet fm Radio, Sweet Televission na Action Mart Group of companies (Mzaliwa wa mbeya aliekua anafanya biashara zake jijini Dar es salaam)
"MATUKIO YOTE NA PRINCE ALPHA."

No comments:

Post a Comment