Thursday, July 17, 2014

waliinuka zaidi ya watu elfu tatu na hamsini wakijaribu kumtoa eliya ktk msimamo wakumwamini Mungu wetu aliye hai,lkn ilikuwa ngumu sana kwa eliya,walizungumza wawezavyo,waliapa kwa miungu yao wanayojua haikuwa rahisi kama walivyofikiri,na mwisho wako eliya alimwita Mungu wake aliye hai akailamba madhabahu,biblia inasema walimwogopa Mungu wa eliya hata wengine walikufa,je wewe ni mambo gani yamekuvunja moyo,wamekusanyika mara ngapi kwaajili yako ukaogopa,wamekubeza mara ngapi,ukavunjika moyo,usiogope Mungu wetu anaishi ataacha wakucheke,wakutukane lakini mwisho watamwona Mungu wako,usimwache Mungu Mpendwa.Ubarikiwe

No comments:

Post a Comment