![]() |
PICHA 18 ZA ALPHA MSIGWA AKA THE PRINCE AKA IGP SAID PLAY BOY MWEMA |
Sunday, December 29, 2013
Ilivyokuwa kwenye kumbukumbu na dua ya kumuombea Sajuki,
Leo imefanyika dua na kumbukumbu ya kumuombea Sajuki ambayo wasanii
mbalimbali wa maigizo walienda kwa ajili ya dua hiyo wakiongozwa na mke
wa marehemu Sajuki aitwae Wastara,Hizi ni baadhi ya picha zikiwaonyesha
wakiwa makaburini kwenye dua hiyo.





alianguka pembeni ya kanisa huko Naija huku akiwa na kiganja cha mkono wa mtu mdomoni na gongo kubwa mkononi, baada ya kuhojiwa baadae alisema kwamba yeye alikuwa kwenye safari zake tu na baadae kujikuta amepoteza fahamu eneo hilo.

wa Operesheni Tokomeza, iliyowang’oa madarakani mawaziri wanne.
Siri hizo zimeanza kuvuja baada ya kubainika kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliandikiwa barua mara mbili na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi juu ya ‘madudu’ hayo, lakini hakuweza kuchukua hatua.
Habari za uhakika ambazo MTANZANIA Jumamosi limezipata zilisema kutokana na Pinda kushindwa kuchukua hatua, kulisababisha Dk. Nchimbi kugoma kujiuzulu pale alipotakiwa kufanya hivyo.


Kwenye moja kati ya filamu ambazo inategemewa kutoka hivi karibuni hizi ni baadhi ya shots.

Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, mama huyo alidai kushangaa kuona wahusika waliokuwa wakifanya kazi na Sharo Milionea wanakaa kimya juu ya malipo ya kazi hizo ambazo marehemu aliacha akidai.
Alisema, alichoambulia ni zile pesa za gari alilokuwa akitumia marehemu pamoja na vitu vya ndani lakini kila akifuatilia malipo ya kazi, hakuna anayemjali huku akidai kuwa huenda ni kwa sababu ya kukaa kijijini pamoja na uzee wake.
“Nawaomba wasinidhulumu jamani, nahangaika na uzee huu, mwanangu alikuwa ndiye nguzo maishani mwangu, mfano niliona hadi kalenda lakini sikuona chochote juu ya kalenda hizo, nawaomba sana,” alisema mama huyo kwa sauti iliyojaa maumivu.
Friday, December 27, 2013

management yangu ya WCB itawasomesha miaka yote waliyobakiza shuleni ikiwa ni pamoja na kuwahamishia katika shule zilizo bora zaidi....Ahsanten sana Daresalaam kwa sapoti mliyonipa jana ....
Wednesday, December 25, 2013

Ivo amedai kuwa hana bifu lolote na goli kipa huyo ingawa ni kweli hakumpa mkono, na kwamba yale yalikuwa ni maamuzi tu.
"Unajua
kaka watu wanaongea sana lakini mimi sina bifu lolote na Ivo,hivyo ni
vitu vya kawaida tu na maamuzi ya mtu." Kaseja ameiambia blog ya
Supermariotz.
Simba iliibuka na ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya Yanga, matokeo yaliyopelekea Yanga kumtimua kocha Mholanzi Ernie Brandts.
Kijana mmoja ashambuliwa hadi kufariki dunia baada ya kusemekana kwamba ni mchawi aliyedondoka na ungo.
Wananchi wakiwa hasira kali wamempiga hadi kumuua mwanaume
aliyedhaniwa kuwa ni mchawi baada ya kuanguka akiwa amepanda ungo maeneo
ya Mbezi Luis jijini Dar es Salaam.
Jamaa huyo mkazi wa Mwanza anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka
20 hadi 25, alianguka jana saa 12 asubuhi maeneo ya Mbezi Luis baada ya
kudai kuwa alikuwa kwenye safari zake za kishirikina.
Mashuhuda wanasema kabla ya kufariki alisema “Mimi nilikuwa na
wenzangu sita, wanaume watatu na wanawake watatu ambapo tulikuwa
tunatoka Mwanza kuelekea kwenye mkutano wetu”
“Lakini mimi kwa bahati mbaya nilikiuka masharti tuliyopewa na mkuu
kwa kufungua macho ndipo ghafla nilianguka na kupata kadhia hii
inayopelekea mauti yangu”
Hata hivyo kutokana na vurugu zilizokuwapo eneo hilo la tukio, ambapo
wananchi wa eneo hilo walikuwa wanataka kumuua, kijana huyo alishindwa
hata kutaja jina lake kutokana na kipigo alichokuwa anakipata kutoka
kwao.


Tuesday, December 24, 2013
![]() |
KUANZIA KUSHOTO NI ABDURY, BONJU, ADAM, IZACK |

Monday, December 23, 2013
Hiki ndicho alichokijibu Zitto Kabwe baada ya tamko la Dr.Slaa 
Zitto Kabwe leo amefanya mkutano wa 3 ndani ya Mkoa wa Kigoma,mikutano hii ilianza siku ya Jumamosi kwa sehemu ya Mwandiga mahali alipozaliwa na kukulia,Kasulu ilikua jana na leo kafanya Kigoma mjini eneo la Mwanga kwenye uwanja wa Community Centre.

Picha 4 za mkutano wa Dr.Slaa Igunga
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)Dk.
Willbroad Slaa jana December 22 alikua akihitimisha ziara yake ya
kukagua uhai wa chama Igunga Mjini mkoani Tabora,mkutano huu uliofanyika
katika uwanja wa Barafu.


Subscribe to:
Posts (Atom)