Wednesday, December 18, 2013


Jokate kwenye Headline tena.kidoti16Leo Desemba 18, 2013,Jokate Mwegelo ame-make headline tena baada ya kuzindua mitindo ya nywele na nguo aina ya Kidoti brand,Jokate Mwegelo aimeanzisha klabu yake ijulikanayo kwa jina la Kidoti Club.kidoti10


Katika uzinduzi wa klabu  hii Jokate ame amplify kuwa Kidoti Club ni tofauti na vilabu vingine kwani katika ujio wake huo mpya, atakuwa anadeal  na mambo mbali mbali katika jamii husani masuala ya urembo na mitindo. Jokate pia alizindua aina mpya ya nywele zake za kisasa katika mtindo wa kidoti Brand.
kidoti11

No comments:

Post a Comment