Tuesday, December 17, 2013


Siku chache baada ya mwili wa Mandela kuzikwa, hiki ndicho kilichofanywa huko South Africa kinachomuhusu Mandela.MandelaNelson Mandela kiongozi aliyeiongoza South Africa kumaliza utawala wa kibaguzi amebakia kuwa kumbukumbu kubwa kwa wananchi wa nchi hiyo na dunia kwa ujumla.
Siku chache baada ya mwili wa Nelson Mandela kuzikwa, imezinduliwa kumbukumbu nyingine ambayo ni sanamu kubwa yenye futi 30 iliyopewa jina la Nelson Mandela Unity Statue.
Sanamu hiyo iliyotengenezwa na Bronze imezinduliwa tarehe 16 huko Pretoria na imeonekana kuwa  ni kivutio kingine cha utalii kwenye jiji hilo.5160468-3x2-700x467

No comments:

Post a Comment