Unaamini huyu mshkaji kafanana na Marehemu Ngwea kwa asilimia 100?
Tamasha la Xxl Afta xkul Bash ndio sehemu ambayo nilimuona huyu
jamaa baada ya kujitokeza kwenye mashindano ya kumtafuta Mtu anaefanana
na Star.Nikaona si mbaya tukafahamu hata kwa uchache historia yake na anamjua vipi Marehemu Ngwea.




No comments:
Post a Comment