Saturday, December 14, 2013


Arsenal yafia mikononi mwa Manchester City.city routscore sheet
Ligi kuu ya England imeendelea hii leo kwa kushuhudia ratiba ya ligi hiyo ikiwa na mechi saba zinazokutanisha timu kumi nane kwenye viwanja tofauti.
Jijini Manchester mchezo wa kwanza uliowakutanisha vinara wa ligi hiyo Arsenal  Manchester City  uliisha kwa ushindi kwa Manchester City ambao waliwafunga washika bunduki wa jiji la London kwa mabao sita kwa matatu . city rout 2city rout 3Matokeo haya yanamaanisha kuwa Manchester City wameikaribia Arsenal ambapo tofauti ya pointi baina ya timu hizo ni pointi tatu pekee ambapo Arsenal wanaongoza wakiwa na pointi 35 huku City wakiwafuatia kwa pointi 32.

No comments:

Post a Comment