Thursday, December 19, 2013

http://www.theclicktz.com/Adhabu ya kutembeza watu uchi huko Nigeria imekuwa ndio adhabu ya kawaida kwa watu kama hawa, baadhi ya watu wakifumaniwa huvuliwa nguo zote na kutembezwa uchi mtaani kama fundisho kwa wengine.


wazee hawa wawli walinaswa wakivunja amri ya sita kichakani na kukamatwa kisha kuvuliwa nguo zote na kutembezwa kijiji hapo mchana.

No comments:

Post a Comment